Skip to main content
Skip to main content

Kwa nini Israel imewaita wanajeshi wake wa akiba? Katika Dira ya Dunia TV Jumatano 20/08/2025

  • | BBC Swahili
    23,940 views
    Duration: 28:01
    Israel imewaita maelfu ya wanajeshi wake wa akiba kurejea katika wiki chache zijazo, kabla ya mpango wa mashambulizi ya ardhini ya kuuteka mji wote wa Gaza. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw