Skip to main content
Skip to main content

Waisraeli waandamana kutaka vita kuisha Gaza, katika Dira ya Dunia TV

  • | BBC Swahili
    13,743 views
    Duration: 28:09
    Polisi mjini Tel Aviv, Israel wamekabiliana na waandamanaji katika maandamano yaliyotajwa kama siku ya kukatiza shughuli za kawaida nchini humo. Maandamano yanafanyika nchini kote ili kuunga mkono familia za mateka wanaoshikiliwa na kundi la Hamas. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw