- 2,334 views
Watu zaidi ya thelathini wamelazwa hospitalini Londiani baada ya kunywa maziwa ya mursik yaliyoharibika siku ya Ijumaa. Watu hao ni miongoni mwa watu zaidi ya mia moja ambao walikunywa maziwa hayo katika hafla ya kufuzu kwa wanafunzi wa chuo cha Kericho school of preaching inadaiwa watu hao waliuziwa maziwa hayo ya mursik na mfanyibiashara mmoja ambaye anadaiwa kuwa mafichoni kwa sasa. Waliougua ni wanakijiji wa kabianga na masaita kaunti ya Bomet. Watu 12 ni miongoni mwa watu waliougua na wanapokea matibabu. Wagonjwa hao wanadaiwa kuharisha na kutapika.
Watu 63 walazwa hospitali baada ya kunywa mursik
- 24 Aug 2025 - The rescue took place on Saturday, with air force personnel raiding a site at Pauwa Hill, in the Kankara local government area, Katsina state internal security commissioner Nasir Mu'azu said in a statement.
- 24 Aug 2025 - The hospital is adamant the prisoners will have to seek treatment elsewhere for the foreseeable future.
- 24 Aug 2025 - The Deputy President promised accelerated development in the region in collaboration with the leaders, highlighting projects worth billions of shillings ongoing in different parts of the area.
- 24 Aug 2025 - Johnson Muthama, the Parliamentary Service Commission Commissioner, has weighed in on when politicians should declare support for presidential
- 24 Aug 2025 - Ozempic has grown in popularity in Kenya, but there are risks involved with the medication.
- 24 Aug 2025 - National Assembly Speaker Moses Wetang’ula has called on Kenyans to embrace unity and shun divisive tendencies that threaten
- 24 Aug 2025 - They allegedly took with them a 75-inch TV, two mobile phones, and other valuables.
- 24 Aug 2025 - The three sisters who drowned were aged nine, 11 and 17 years.
- 24 Aug 2025 - Homa Bay Town Member of Parliament George Peter Kaluma has mocked fellow legislators Embakasi East MP Babu Owino,
- 24 Aug 2025 - Deputy President Kithure Kindiki has lauded Harambee Stars for fighting hard to the quarter finals in the ongoing CHAN tournament, promising full support for upcoming games.