- 16 views
Sherehe za mwaka huu za siku kuu ya leba dei zilishuhudia mbwebwe za aina yake huku wafanyikazi wakimiminika katika bustani ya Uhuru kuadhimisha siku hiyo. Kulikuwa na maonyesho ya zana za kazi yaliyofanywa kwa njia za ubunifu ambazo ziligusia mchango wa wafanyikazi katika uchumi wa taifa hili. Miongoni mwa umati huo kulikuwa na Paul Maina Njenga kutoka Kaunti ya Murang’a. Alikuwa amevalia rangi za bendera ya Kenya ili kujivunia uzalendo na hadhi ya wafanyikazi. Ripota wetu, Nancy Okware, alikutana na Njenga na wafanyikazi wengine wenye ari na bidii na huyu hapa na maelezo ya matukio na sauti za sherehe ya siku hii ya wafanyikazi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Mbwembwe za sherehe ya Leba dei
- 20 Jul 2025 - The Trump administration said Saturday it is taking a series of actions against Mexico over the Mexican government's decisions to rescind some flight slots for U.S. carriers and force U.S. cargo carriers to relocate operations in Mexico City.
- 19 Jul 2025 - Former President William Ruto’s senior economic advisor Moses Kuria has come out guns blazing to respond to claims made by former Deputy President Rigathi Gachagua during an interview in Boston, United States.
- 19 Jul 2025 - Activist Boniface Mwangi was on Saturday evening reportedly arrested by detectives from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) under unclear circumstances.
- 19 Jul 2025 - Democracy for the Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua has accused Deputy President Kithure Kindiki, of orchestrating the chaos witnessed during last month's anti-government protests.
- 19 Jul 2025 - Politicians inciting Kenyans to violence and planting seeds of hatred and discord ahead of the 2027 General Election must be called out, Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has said.
- 19 Jul 2025 - One of the survivors said: “I thought I would die before receiving my court-ordered compensation."
- 19 Jul 2025 - DCI detectives cite terrorism and arson as the reasons for the arrest.
- 19 Jul 2025 - Africa Youth Employment Clock tracks real-time employment of Africans aged 15-35.
- 19 Jul 2025 - The incident happened in Vietnam's busy Ha Long Bay during bad weather, and at least 14 people are missing.
- 19 Jul 2025 - Eyewitnesses said the truck’s driver lost control before it rammed into the wall.