"Kuona picha za kaka yangu akiwa amekonda kama mifupa ni aina ya ukatili,"
Hamas ilitoa video Jumamosi inayoonyesha Evyatar David, kaka wa Ilay mwenye umri wa miaka 24 akiwa ndani ya handaki akichimba kaburi ambalo anasema ni kwa ajili yake mwenyewe.
Video hiyo, inayomwonyesha mateka huyo akiwa amedhoofika sana ndani ya handaki, imelaaniwa vikali na viongozi wa Israel na mataifa ya Magharibi.
Kitengo cha kijeshi cha Hamas kimekanusha madai kwamba kinawalaza njaa mateka kwa makusudi, kikisema kuwa mateka hula kile wanachokula wapiganaji wao pamoja na raia wa Gaza.
#bbcswahili #hamas #Israel
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
5 Aug 2025
- The products have grown in popularity among women.
5 Aug 2025
- Details required to register a car in Kenya.
5 Aug 2025
- There are 22 areas where the by-elections will take place.
5 Aug 2025
- Siaya County Deputy Governor William Oduol now proposes a dialogue to unlock the growing impasse between him and Governor James Orengo.
5 Aug 2025
- KMPDU has demanded the immediate shutdown of 13 hospitals in Kiambu County, citing a worsening healthcare crisis as the doctors’ strike in the devolved unit enters its 71st day.
5 Aug 2025
- The products have grown in popularity among women.
5 Aug 2025
- Auditor-General Nancy Gathungu has flagged accountability and transparency gaps within the government’s eCitizen digital payment platform, pointing to potential misuse of billions of shillings and raising alarm over service delivery failures in key…
5 Aug 2025
- Report paints a grim picture of corruption in public institutions.
5 Aug 2025
- Fragile peace in Transmara West as guns go silent, trauma fades away
5 Aug 2025
- Congo, Sudan set for historic first CHAN clash in Group D opener
5 Aug 2025
- Rwanda says will 'accept up to 250 migrants' from US
5 Aug 2025
- Malala wants Malava!
5 Aug 2025
- Details required to register a car in Kenya.