Trump na Biden wakosoana kuhusu suala la uhamiaji https://www.cnn.com/
Katika miezi ya hivi karibuni, Biden amejaribu kurekebisha muonekano wake usiopendeza kwa umma katika kushughulikia suala la uhamiaji, kwanza kwa kuidhinisha pendekezo la Baraza la Seneti la vyama vyote viwili likiwa na baadhi ya masharti magumu katika kumbukumbu za karibuni na baadae, baada ya sheria ile kuvunjika, akichukua hatua za kiutendaji kuwadhibiti wahamiaji wanaoomba hifadhi upande wa kusini wa mpaka.
Lakini wakati Biden akijaribu kuhamasisha mafanikio aliyofikia, hasa kupungua kwa asilimia 40 ya idadi ya uvukaji kinyume cha sheria tangu agizo lake la mpaka kutekelezwa mwezi huu, Trump alieleza machachari ya kisiasa yakieleza ni kiza na balaa kuonyesha hali ya mpakani iliyovurugika chini ya uangalizi wa Biden.
Kwa mfano, Trump alitoa hoja kuwa wahamiaji wanaowasili kwenye mpaka wa Marekani wamekuja kutoka “hospitali za magonjwa ya akili” na “waomba hifadhi wendawazimu” – ambapo hajaweza kutoa ushahidi wowote. Pia alidai mpaka wa Marekani – Mexico (AP).
#trump #biden #voa
14 May 2025
- The individuals could be subjected to criminal charges and asset recovery.
14 May 2025
- Kuria serves as President William Ruto's Senior Economic Adviser.
14 May 2025
- The lawmakers have also threatened to go to court.
14 May 2025
- A petition has been filed in court challenging President William Ruto's recent nominations to the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC).
14 May 2025
- A family in Kayole is seeking justice for their kin who was murdered in cold blood, allegedly by her boyfriend.
14 May 2025
- The Nairobi City County Government has disowned a report recommending the closure of Naivas Supermarket over allegations that the retailer was selling expired products.
14 May 2025
- Dr. Benjamin Magare Gikenyi and Eliud Matindi have filed a petition in court challenging the appointment of Prof. Makau Mutua as the President’s Senior Advisor on Constitutional Affairs.
14 May 2025
- NPSC has confirmed that it has completed a dry run of its new digital recruitment system, as it prepares to shift police recruitment to an online platform.
14 May 2025
- Kalenjins, Luhyas, Kikuyus and Kambas dominated the latest recruitment of teachers in Junior Secondary School, accounting for 57 per cent of the total workforce.
14 May 2025
- Kenya has expanded support for the United Nations (UN), elevating its existing pledges within the Peacekeeping Capability Readiness System (PCRS).
14 May 2025
- The Nairobi County Government has clamped down the Grand Lodge of East Africa’s Freemasons’ Hall in the city center over land rate arrears amounting to Ksh.19 million.
14 May 2025
- Naivas Supermarket has come out guns blazing to quash swirling online reports that its branches are peddling expired products and have hence been shut down by health authorities.
14 May 2025
- The government has once again pledged its commitment to working closely with the boda boda sector, calling on operators to remain united, disciplined, and actively involved in national development initiatives.