- 444 viewsBaada ya kusafiri sehemu mbalimbali duniani kwa mwaka moja, Asami Okano, mwalimu wa Kijapani, alifanya makazi yake Uganda ili kuanzisha biashara ya kilimo cha kakao na vanilla. Hapa ndipo alipokutana na mume wake, Yoshito Asai, mwaka 2013. Walioana na kupata watoto wawili, wote walizaliwa Uganda. Mwandishi wa VOA Halima Athumani na Mukasa Francis walikutana na familia hiyo na wanasimulia hadithi yao kutoka wilaya ya Kayunga katikati mwa Uganda. Asami amesema, kama mwanafunzi, alikuwa na utashi wa kujifunza kuhusu nchi zinazoendelea, hususan Asia na Afrika. Hivyo basi, wakati wa ziara yake ya m waka mmoja, iliyompeleka katika nchi mbalimbali, aliwasili Uganda, na kupata kazi ya kujitolea katika kituo cha yatima. Alifanya kazi hapo kwa mwaka mmoja kabla ya kituo cha yatima kufungwa kutokana na ukosefu wa ufadhili. Bado akiwa nchini Uganda, Asami alifanya utafiti wa njia nyingine za kujipatia kipato na kugundua kilimo kama njia inayofaa. Aliamua kufuata mkondo huo na kufanya makazi yake Uganda. Yoshito alihamia Uganda kama msafiri, akifanya utafiti wake kuhusu kilimo, wakati akiwa pia anatafuta kazi huko. Akiwa katika harakati hizo, Yoshito alikutana na Asami, na kuajiriwa naye, kabla ya wote wawili kuamua kuoana na kuishi Uganda. Yoshito anasema kile hasa anachokipenda kuhusu nchi hiyo ni watu wake na hali ya hewa. #uganda #japan #cocoa #expats #africa #voa
Wanandoa wa Kijapani waeleza kilicho wavutia kutafuta maisha Uganda
- 5 Jul 2025 - President William Ruto has replaced former Kesses Member of Parliament Dr. Swarup Mishra as the chair of the Kenya BioVax Institute, three months after suspending him.
- 5 Jul 2025 - The Orange Democratic Movement (ODM) has slammed media reports which claimed that the party leader, Raila Odinga, is losing popularity in his backyard of Nyanza due to the events that unfolded during the burial of late teacher Albert Ojwang' at Kakoth…
- 5 Jul 2025 - The Judicial Service Commission (JSC) has strongly condemned what it terms as excessive use of force by police officers during the re-arrest of youth politician Peter Kinyanjui, alias Kawanjiru within the Ruiru Law Courts, saying the actions undermine…
- 5 Jul 2025 - Football Kenya Federation (FKF) President Hussein Mohammed joined family, friends, and stakeholders in Soy, Uasin Gishu County, to pay their last respects to Mama Mildred Wanyama. “Football Kenya Federation President Hussein Mohammed led stakeholders in…
- 5 Jul 2025 - Heads of schools express safety concerns for students and staff.
- 5 Jul 2025 - Gachagua said this during her aunt's burial ceremony.
- 5 Jul 2025 - The closure was enforced after a fuel tanker overturned, spilling oil onto the road.
- 5 Jul 2025 - The general claimed Kenyan police have not achieved tangible progress despite being on the ground for months.
- 5 Jul 2025 - The Commission says use of force in court premises undermines the rule of law.
- 5 Jul 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has launched scathing accusations against President William Ruto, claiming the Head of State is systematically persecuting the Mt. Kenya community.