- 153 views
Rais William Ruto amechapisha kwenye gazeti rasmi la serikali arifa ya kuvunja baraza lake la mawaziri na kumteua wazii mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi aliyepia waziri wa masuala ya kigeni kushikilia nyadhifa zote za mnawaziri. Kwenye arifa hiyo ya tarehe-12 Julai mwaka huu, rais Ruto amesema nyadhifa-21 za mawaziri na mwanasheria mkuu sasa ziko wazi. Rais amesema anafanyia mageuzi serikali yake ili kufanikisha utoaji huduma na kubuni baraza jipya la mawaziri hivi karibuni ambalo litamsaidia kutekeleza ajenda za serikali zikiwemo kudhibiti deni la kitaifa, kuimarisha mapato, kubuni ajira, kukomesha utumizi mbaya wa raslimali na urudufishaji majukumu miongoni mwa mashirika ya serikali.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Rais Ruto atangaza nyadhifa za mawaziri kuwa wazi
- 17 Jul 2025 - A cloud of shock and grief hangs over the Kenyatta National Hospital (KNH) following the mysterious and tragic death of a patient, whose body was discovered in a blood-soaked bed shortly after visiting hours on Thursday afternoon.
- 17 Jul 2025 - Political and religious leaders are top on the list of individuals and entities being investigated by the government for aiding and abetting banditry in West Pokot County.
- 17 Jul 2025 - Civil society group Operation Linda Jamii has filed a constitutional petition challenging the appointment of Michael Nyachae as the chairperson of the board of the Development Bank of Kenya.
- 17 Jul 2025 - Post-mortems were on Thursday conducted on the bodies of two young men who were shot dead by police during the recent Saba Saba protests in Kirinyaga County.
- 17 Jul 2025 - Detectives from the Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) have arrested three senior employees and an intern of the National Treasury following numerous bribery allegations.
- 17 Jul 2025 - Naivasha Member of Parliament Jayne Kihara was on Thursday afternoon arrested at her home in Nakuru County.
- 17 Jul 2025 - Public Service CS Geoffrey Ruku has announced that the government is working to develop a mobile application to monitor civil servants.
- 17 Jul 2025 - The party has unveiled two MP aspirants. IEBC is preparing to fill 22 positions in total.
- 17 Jul 2025 - The Kenya Revenue Authority (KRA) has collected Ksh.119.662 billion from the Road Maintenance Levy (RML) at the close of the 2024/25 Financial Year.
- 17 Jul 2025 - The four suspects include an intern, who implicated his parent in the scheme.