Skip to main content
Skip to main content

Barabara ya Isiolo-Wajir-Mandera yafufua matumaini Kaskazini mwa Kenya

  • | Citizen TV
    11,472 views
    Duration: 5:34
    Kwa miaka mingi, wakazi wa maeneo ya kaskazini mwa Kenya walihisi kutengwa kutokana na changamoto za miundomsingi na athari za ukame. Lakini sasa matumaini mapya yanaanza kushuhudiwa kupitia ujenzi wa barabara ya lami ya kilomita 750 kutoka Isiolo kwenda Wajir hadi Mandera. mwanahabari Feisal Abdirahman ametembelea sehemu hiyo na kutuandalia