Bei ya Kakao yaongezeka zaidi huku vita Cameroon ikiyumbisha upatikanaji wake
Mahitaji mbalimbali ya zao la kakao katika soko la dunia limepelekea bei ya zao hilo kubakia wakati wote juu, lakini hakuna kiasi cha kutosha ya zao hilo kuuzwa katika mkoa kusini magharibi wa Cameroon, ambalo awali lilikuwa ni bonde kuu la uzalishaji kakao katika taifa hilo.
Hii ni kutokana na vita vya silaha vilivyo yakumba maeneo ya Kaskazini magharibi na Kusini magharibi, mikoa miwili inayozungumza Kiingereza, tangu mwaka 2017, na kuwalazimisha wakulima kadhaa kuhamia maeneo mengine. Kama anavyorepoti Njodzeka Danhatu kutoka Buea, mkoa wa Kusini magharibi mwa Cameroon, baadhi ya wakulima wameanza hivi sasa kurejea katika maeneo yao.
Kilo moja ya kakao ambayo ilikuwa inauzwa kwa dola moja ya Marekani. Inauzwa kwa dola tisa za Marekani hivi leo, bei ya juu zaidi kuwahi kushuhudiwa katika taifa hilo la Afrika ya Kati. Serikali inawapa wakulima wa maeneo hayo ushauri juu ya namna ya kutumia fedha hizo zinazotokana na kakao kuondokana na umaskini.
#cocoa #cameroon #farming #voa
15 May 2025
- Kenya is among 59 nations that are expected to benefit from the deal.
15 May 2025
- On Wednesday, Nairobi County shut down the freemasons church over land rate arrears.
15 May 2025
- The man argued that the constitutional changes would improve executive stability and enhance institutional coherence.
15 May 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has unveiled his much-anticipated political outfit, the Democracy for the Citizens Party (DCP).
15 May 2025
- The petition, filed as Bench Petition No. E565 of 2024, was scheduled for May 15, 2025.
15 May 2025
- Nandi County Senator Samson Cherargei has opined that Kenya's opposition's expected launch of a new political faction will not successfully topple President William Ruto from power.
15 May 2025
- Kenya is among 59 nations that are expected to benefit from the deal.
15 May 2025
- On Wednesday, Nairobi County shut down the freemasons church over land rate arrears.
15 May 2025
- Two Kenyan voters are seeking interim conservatory orders to suspend any consideration, vetting, or approval of the seven nominees by the National Assembly.
15 May 2025
- The man argued that the constitutional changes would improve executive stability and enhance institutional coherence.
15 May 2025
- Lawmakers in the United States Senate are questioning Kenya’s loyalty to America following President William Ruto’s recent trip to China.
15 May 2025
- Moi University has issued redundancy letters to hundreds of employees as it reports that the institution is over staffed.
15 May 2025
- Police officers could be seen shooting in the air to disperse the crowd.