Iran yaanzisha vinu vipya katika programu yenye utata ya nyuklia
Iran imeanza kuweka mabomba mapya ya nyuklia na inapanga kuweka mengine katika wiki zijazo baada ya kukabiliwa na ukosoaji kwa progamu yake ya nyuklia, shirika la Umoja wa Mataifa linalofuatilia masuala ya nyuklia limesema siku ya Ijumaa. Marekani imeieleza hatua hiyo ni “kuongeza mivutano ya nyuklia.”
Kuanzisha vinu vipya katika program ya nyuklia ya Iran, ambayo tayari inasindika uranium kwa viwango vya kuweza kutengeneza silaha za nyuklia na kuboresha shehena yake kwa mabomu kadhaa ya nyuklia kama itaamua kuchukua mwelekeo huo.
Hata hivyo, kukiri kwa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki halikujumuisha pendekezo lolote kuwa Iran inapanga kufikia kiwango vya juu vya kusindika uranium huku kukiwepo mivutano mipana kati ya Tehran na nchi za Magharibi wakati vita vya Israel na Hamas vikiendelea Ukanda wa Gaza.
Shirika la IAEA lilisema wakaguzi wake walithibitisha Jumatatu kuwa Iran ilikuwa imeanza kuweka uranium katika mabomba matatu yenye uwezo wa kurutubisha katika viwango vya IR-4 na IR-6 katika kituo cha usindikaji cha Natanz. Vinu hivyo ni mkusanyiko wa mabomba ya kuchanganya gesi ya uranium pamoja ili kurutubisha kwa haraka madini hayo ya uranium.
Hadi sasa, Iran imekuwa ikisindika uranium katika vituo hivyo kufikia uhalisia wa asilimia 2. Iran tayari imerutubisha uranium kufikia asilimia 60, ikiwa iko karibu kufikia hatua ya kiufundi kuweza kutengeneza silaha mbalimbali kwa kiwango cha asilimia 90.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #kufrdan #jenin #wanamgambo #wapalestina #jeshi #israel #iran #isfahan #natanz #uranium #vinu #urutubishaji #kusindika #uranium
15 May 2025
- Kenya is among 59 nations that are expected to benefit from the deal.
15 May 2025
- On Wednesday, Nairobi County shut down the freemasons church over land rate arrears.
15 May 2025
- The man argued that the constitutional changes would improve executive stability and enhance institutional coherence.
15 May 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has unveiled his much-anticipated political outfit, the Democracy for the Citizens Party (DCP).
15 May 2025
- The petition, filed as Bench Petition No. E565 of 2024, was scheduled for May 15, 2025.
15 May 2025
- Nandi County Senator Samson Cherargei has opined that Kenya's opposition's expected launch of a new political faction will not successfully topple President William Ruto from power.
15 May 2025
- Kenya is among 59 nations that are expected to benefit from the deal.
15 May 2025
- On Wednesday, Nairobi County shut down the freemasons church over land rate arrears.
15 May 2025
- Two Kenyan voters are seeking interim conservatory orders to suspend any consideration, vetting, or approval of the seven nominees by the National Assembly.
15 May 2025
- The man argued that the constitutional changes would improve executive stability and enhance institutional coherence.
15 May 2025
- Lawmakers in the United States Senate are questioning Kenya’s loyalty to America following President William Ruto’s recent trip to China.
15 May 2025
- Moi University has issued redundancy letters to hundreds of employees as it reports that the institution is over staffed.
15 May 2025
- Police officers could be seen shooting in the air to disperse the crowd.