Iran yaanzisha vinu vipya katika programu yenye utata ya nyuklia
Iran imeanza kuweka mabomba mapya ya nyuklia na inapanga kuweka mengine katika wiki zijazo baada ya kukabiliwa na ukosoaji kwa progamu yake ya nyuklia, shirika la Umoja wa Mataifa linalofuatilia masuala ya nyuklia limesema siku ya Ijumaa. Marekani imeieleza hatua hiyo ni “kuongeza mivutano ya nyuklia.”
Kuanzisha vinu vipya katika program ya nyuklia ya Iran, ambayo tayari inasindika uranium kwa viwango vya kuweza kutengeneza silaha za nyuklia na kuboresha shehena yake kwa mabomu kadhaa ya nyuklia kama itaamua kuchukua mwelekeo huo.
Hata hivyo, kukiri kwa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki halikujumuisha pendekezo lolote kuwa Iran inapanga kufikia kiwango vya juu vya kusindika uranium huku kukiwepo mivutano mipana kati ya Tehran na nchi za Magharibi wakati vita vya Israel na Hamas vikiendelea Ukanda wa Gaza.
Shirika la IAEA lilisema wakaguzi wake walithibitisha Jumatatu kuwa Iran ilikuwa imeanza kuweka uranium katika mabomba matatu yenye uwezo wa kurutubisha katika viwango vya IR-4 na IR-6 katika kituo cha usindikaji cha Natanz. Vinu hivyo ni mkusanyiko wa mabomba ya kuchanganya gesi ya uranium pamoja ili kurutubisha kwa haraka madini hayo ya uranium.
Hadi sasa, Iran imekuwa ikisindika uranium katika vituo hivyo kufikia uhalisia wa asilimia 2. Iran tayari imerutubisha uranium kufikia asilimia 60, ikiwa iko karibu kufikia hatua ya kiufundi kuweza kutengeneza silaha mbalimbali kwa kiwango cha asilimia 90.
#Haifa #waelaldahdouh #hamzaaldahdouh #shirikalamwezimwekundu
#Rafah #Netanyahu #Misri #Hamas #Gaza #Palestina #IDF #GalMeirEizenkot #mauaji #jeshi #israel #voa #voaswahili #kufrdan #jenin #wanamgambo #wapalestina #jeshi #israel #iran #isfahan #natanz #uranium #vinu #urutubishaji #kusindika #uranium
11 Aug 2025
- Youth between the ages of 25 and 34 are the most active online.
11 Aug 2025
- The project aims to ease traffic flow in the city.
11 Aug 2025
- Trump recently spared Kenya from tariff slaps.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Countries remained at loggerheads Monday over how to tackle plastic pollution, with only four days left to craft a landmark global treaty on reining in the ever-growing scourge.
11 Aug 2025
- Public Health Principal Secretary Mary Muthoni has warned management of level 2, level 3 and sub county hospitals against charging patients when they seek outpatient medical attention in those facilities.
11 Aug 2025
- Youth between the ages of 25 and 34 are the most active online.
11 Aug 2025
- President Donald Trump pledged on Sunday to evict homeless people from the nation's capital and jail criminals, despite Washington's mayor arguing there is no current spike in crime.
11 Aug 2025
- Israel's military said it killed an Al Jazeera journalist it accused of being a Hamas cell leader in a Gaza airstrike on Sunday, but rights advocates said he had been targeted for his frontline reporting on the Gaza war and Israel's claim lacked…
11 Aug 2025
- The project aims to ease traffic flow in the city.
11 Aug 2025
- They say many have been sitting back and waiting for the state to provide jobs
11 Aug 2025
- Police said one Erick Mutembei Njagi, 53, was shot and killed by four gunmen who were riding on a motorcycle.
11 Aug 2025
- The video widely shared on TikTok claims that the ’23-year-old’ was attacked during a performance.