Skip to main content
Skip to main content

Kaunti ya Kwale itakuwa mwenyeji wa mashindano ya Road Cycling African Championship

  • | Citizen TV
    217 views
    Duration: 1:55
    Kaunti ya Kwale itakuwa mwenyeji wa mashindano ya uendeshaji baisikeli ya afrika ya "Cac Road Cycling African Championship" yatakayofanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 19 hadi 23 katika miji ya Diani na Kwale.