- 573 views
Familia Moja kutoka Kijiji Cha Kone eneo bunge la Garsen Kaunti ya Tanariver inalilia haki baada ya jamaa yao kupigwa risasi na maafisa wanaodaiwa kuwa wa kitengo cha walinda Wanyama pori KWS mbele ya Familia yake. Inadaiwa marehemu Isack Jarso Delo mwenye umri wa miaka 50 alikuwa nyumbani kwake ambapo maafisa 20 wa kulinda Wanyama pori KWS walipomvamia. Hata hivyo, kwenye ripoti iliyotumwa kwa vyombo vya habari, idara ya KWS inasema kuwa mwathiriwa alikuwa na watu wengine walioshambulia maafisa wa kws kwa mishale yenye sumu kwenye mbuga ya wanyama, na hivyo akajeruhiwa na baadaye akafariki.
Maafisa wa KWS wadaiwa kumpiga risasi mkazi kijijini Kone, Tana River
- 9 Jun 2025 - During the ongoing inquest into the death of Rex Masai, a former Kamukunji Police Station Officer Commanding Station (OCS), Chief Inspector Robert Mugo, denied that police officers were involved in any civilian deaths during the June 2024 protests…
- 9 Jun 2025 - PS for interior Raymond Omollo has called for calm as a probe into the mysterious death of blogger Albert Ojwang’ in police custody is ongoing.
- 9 Jun 2025 - The Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) has requested the court to intervene in the long-running Kianjakoma brothers murder case, citing persistent delays and the absence of one of the accused persons.
- 9 Jun 2025 - Inspector General of Police (IG) Douglas Kanja revealed that Deputy Inspector General, Kenya Police Service (DIG) Eliud Kipkoech Lagat is the complainant behind the arrest of the now deceased Albert Ojwang'.
- 9 Jun 2025 - Inspector General of Police (IG) Douglas Kanja revealed that Deputy Inspector General, Kenya Police Service (DIG) Eliud Kipkoech Lagat is the complainant behind the arrest of the now deceased Albert Ojwang'.
- - Pathologists to conduct autopsy on Albert Ojwang's body today
- 9 Jun 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has called for the suspension of the Deputy Inspector General Kenya Police Service (DIG) Eliud Lagat over the unexplained death of Albert Ojwang'.
- 9 Jun 2025 - Police initially claimed Ojwang hit his head against a cell wall.
- 9 Jun 2025 - The Chinese government has also offered annual exchange programs.
- 9 Jun 2025 - The project will be completed within three years.