Mabingwa wa BAL Petro de Luanda 2024, Faust yapata pointi 24
Timu ya Petro de Luanda ilipata ushindi wa pointi 107- 94 dhidi ya Al Ahly Ly Jumamosi na kushinda taji la Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika 2024 huko BK Arena Kigali, Rwanda.
Huu ni ushindi wa kwanza wa bara la Afrika kwa Petro de Luanda tangu iliposhinda Michuano ya Kombe la Afrika FIBA 2015, katika mji mkuu Luanda.
Mabingwa hao wa Angola walikuwa nyuma kwa pointi 52 – 40 wakati wa mapumziko lakini wakaweza kubadilisha muelekeo katika kota ya tatu ya mchezo huo na kuzima ushindi wa michezo mitatu ya Al Ahly Ly katika msimu uliopita.
Nicholas Faust aliongoza washindi hao wapya kwa pointi 24; Markeith Cummings aliongeza pointi 20 na Cleusio Castro alionyesha juhudi kubwa ya kupata pointi 10 alipoingia mchezoni.
Kwa ushindi huo, Petro de Luanda ilijipatia haki ya kuwakilisha Afrika katika Michuano ya Kombe la Mabara mbalimbali Septemba ijayo huko Singapore. (BAL)
#basketball #bal #nba #playoffs #explorepage #sports #africa #voa
11 Aug 2025
- Youth between the ages of 25 and 34 are the most active online.
11 Aug 2025
- The project aims to ease traffic flow in the city.
11 Aug 2025
- Trump recently spared Kenya from tariff slaps.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Countries remained at loggerheads Monday over how to tackle plastic pollution, with only four days left to craft a landmark global treaty on reining in the ever-growing scourge.
11 Aug 2025
- Public Health Principal Secretary Mary Muthoni has warned management of level 2, level 3 and sub county hospitals against charging patients when they seek outpatient medical attention in those facilities.
11 Aug 2025
- Youth between the ages of 25 and 34 are the most active online.
11 Aug 2025
- President Donald Trump pledged on Sunday to evict homeless people from the nation's capital and jail criminals, despite Washington's mayor arguing there is no current spike in crime.
11 Aug 2025
- Israel's military said it killed an Al Jazeera journalist it accused of being a Hamas cell leader in a Gaza airstrike on Sunday, but rights advocates said he had been targeted for his frontline reporting on the Gaza war and Israel's claim lacked…
11 Aug 2025
- The project aims to ease traffic flow in the city.
11 Aug 2025
- They say many have been sitting back and waiting for the state to provide jobs
11 Aug 2025
- Police said one Erick Mutembei Njagi, 53, was shot and killed by four gunmen who were riding on a motorcycle.
11 Aug 2025
- The video widely shared on TikTok claims that the ’23-year-old’ was attacked during a performance.