Mabingwa wa BAL Petro de Luanda 2024, Faust yapata pointi 24
Timu ya Petro de Luanda ilipata ushindi wa pointi 107- 94 dhidi ya Al Ahly Ly Jumamosi na kushinda taji la Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Afrika 2024 huko BK Arena Kigali, Rwanda.
Huu ni ushindi wa kwanza wa bara la Afrika kwa Petro de Luanda tangu iliposhinda Michuano ya Kombe la Afrika FIBA 2015, katika mji mkuu Luanda.
Mabingwa hao wa Angola walikuwa nyuma kwa pointi 52 – 40 wakati wa mapumziko lakini wakaweza kubadilisha muelekeo katika kota ya tatu ya mchezo huo na kuzima ushindi wa michezo mitatu ya Al Ahly Ly katika msimu uliopita.
Nicholas Faust aliongoza washindi hao wapya kwa pointi 24; Markeith Cummings aliongeza pointi 20 na Cleusio Castro alionyesha juhudi kubwa ya kupata pointi 10 alipoingia mchezoni.
Kwa ushindi huo, Petro de Luanda ilijipatia haki ya kuwakilisha Afrika katika Michuano ya Kombe la Mabara mbalimbali Septemba ijayo huko Singapore. (BAL)
#basketball #bal #nba #playoffs #explorepage #sports #africa #voa
15 May 2025
- Police officers could be seen shooting in the air to disperse the crowd.
15 May 2025
- The reports of his death emerged amid a resurgence of hostilities in South Sudan.
15 May 2025
- The governor said that the county will step in and cover the costs immediately, allowing them to receive treatment without delay.
15 May 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has unveiled his much-anticipated political outfit, the Democracy for the Citizens Party (DCP).
15 May 2025
- The petition, filed as Bench Petition No. E565 of 2024, was scheduled for May 15, 2025.
15 May 2025
- Nandi County Senator Samson Cherargei has opined that Kenya's opposition's expected launch of a new political faction will not successfully topple President William Ruto from power.
15 May 2025
- Lawmakers in the United States Senate are questioning Kenya’s loyalty to America following President William Ruto’s recent trip to China.
15 May 2025
- Moi University has issued redundancy letters to hundreds of employees as it reports that the institution is over staffed.
15 May 2025
- Police officers could be seen shooting in the air to disperse the crowd.
15 May 2025
- The reports of his death emerged amid a resurgence of hostilities in South Sudan.
15 May 2025
- All the affected workers are unionisable members of UASU, KUSU and KUDHEIHA
15 May 2025
- Orange Democratic Movement (ODM) chairperson Gladys Wanga maintains that the party will continue supporting President Wiliam Ruto’s administration and his development plans amid criticism by a section of ODM leaders.
15 May 2025
- Former UDA official Cleophas Malala was named interim deputy party leader