Skip to main content
Skip to main content

Maelfu wafurika Ekalakala kuwapokea watangazaji wa Musyi FM

  • | Citizen TV
    107 views
    Shamrashamra zilitanda katika Soko la Ekalakala, Masinga, Kaunti ya Machakos, huku maelfu ya wakazi wakijitokeza kuwapokea watangazaji wa kituo cha redio cha Musyi FM, kinachoongoza kwa matangazo katika lugha ya kikamba eneo la mashariki mwa nchi.