Skip to main content
Skip to main content

Mariga azungumzia madai ya ubadhirifu FKF

  • | Citizen TV
    460 views
    Duration: 2:08
    Naibu Rais wa Shirikisho la Kandanda nchini, Mcdonald Mariga, amezungumzia madai ya ubadhirifu wa fedha katika Shirikisho la Kandanda la Kenya (FKF) chini ya uongozi wa Rais Hussein Mohammed. Sasa inadaiwa kuwa shilingi milioni 43 zililipwa kwa kampuni ya bima ya Riskwell na kwamba FKF ilitoa cheti ghushi kwa CAF.