Mfalme Charles III afanya mazungumzo na Rais Ramaphosa

  • | VOA Swahili
    163 views
    Mfalme Charles III wa UIngereza amekuwa na mazungumzo na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini katika Kasri ya Buckingham ikiwa ni mara ya kwanza kumpokea kiongozi wa kitaifa tangu kuchukua uongozi wa kifalme. Ramaphosa amepokelewa kwa heshima zote za kitaifa kwa gwaride la kijeshi lililohudhuriwa na Waziri Mkuu wa UIngereza. Endelea kusikiliza taarifa kamili - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.