- 40 viewsViongozi wakuu wa dunia wanakutana kujadili masuala ya AI mjini Paris ambako mazungumzo ya kidiplomasia yenye changamoto yanatarajiwa wakati ambapo makundi ya teknolojia yanapigania utawala katika sekta ya teknolojia inayosonga kwa kasi. Wakuu wa nchi, viongozi wa juu wa serikali, wakurugenzi wakuu na wanasayansi kutoka nchi 100 wanashiriki katika mkutano wa kimataifa wa siku mbili unaoanza leo Jumatatu. Wahudhuriaji wakuu ni pamoja na Makamu Rais wa Marekani JD Vance, katika ziara yake ya kwanza nje ya nchi tangu aingie madarakani, na Makamu wa Waziri Mkuu wa China, Zhang Guoqing. Tunaishi katika mapinduzi ya teknolojia na kisayansi ambayo hatujawahi kuyaona, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema Jumapili katika televisheni ya taifa ya Ufaransa. Ufaransa na Ulaya lazima zichukue fursa kwa sababu AI itatuwezesha kuishi vizuri, kujifunza vizuri, kufanya kazi vizuri, kujihudumia vizuri, na ni juu yetu kuiweka akili mnemba katika utoaji huduma ya binadamu, alisema. #akilimnemba #ai #ufaransa #mkutano #teknolojia #makamurais #marekani #jdvance #voa #voaswahili
Mkutano wa AI wa kimataifa wafanyika Ufaransa
- 1 May 2025 - Kasipul MP Charles Ong'ondo Were has been shot dead this evening at the City Mortuary round about in Nairobi.
- 1 May 2025 - The government now says it has not introduced any new taxes in the Finance Bill 2025, saying the move is meant to reduce the high cost of living in the country.
- 30 Apr 2025 - Controller of Budget Dr. Margaret Nyakang’o has filed an urgent application at the Nakuru High Court seeking clarity on contentious court orders that have thrown county bursary approvals and disbursements into disarray, delivering a major blow to needy…
- 30 Apr 2025 - Embattled Kenyatta University Vice Chancellor Prof. Paul Wainaina is back at the helm of the institution after the Employment and Labour Relations Court on Wednesday ordered his reinstatement as the institution’s top executive.
- 30 Apr 2025 - The Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) has released an update on investigations into deaths and injuries that occurred during the Gen Z protests of June 2024, many of which were highlighted in the BBC documentary dubbed ‘Blood…
- 30 Apr 2025 - KMPDU has written to the University of Nairobi (UoN), demanding urgent measures to protect the welfare of medical registrars, who it says are being overworked and unfairly treated.
- 30 Apr 2025 - Two lovers have been arraigned in court in connection with the brutal murder and lynching of a 26-year-old woman in Likoni, Mombasa County.
- 30 Apr 2025 - Prof. Makau Mutua has landed a new job in the Kenya Kwanza administration, becoming the latest beneficiary of the broad-based government agreement between President William Ruto and former Prime Minister Raila Odinga.
- 30 Apr 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has directed that chiefs from five counties grappling with frequent livestock raids be registered and armed for self-defense.
- 30 Apr 2025 - Kasipul MP Ong’ondo Were has died. The MP is reported to have been shot dead by two assailants who had been trailing him on a motorbike. Upon reaching the junction at Nairobi Funeral Home, formerly known as City Mortuary, the pillion passenger of the…