- 40 viewsViongozi wakuu wa dunia wanakutana kujadili masuala ya AI mjini Paris ambako mazungumzo ya kidiplomasia yenye changamoto yanatarajiwa wakati ambapo makundi ya teknolojia yanapigania utawala katika sekta ya teknolojia inayosonga kwa kasi. Wakuu wa nchi, viongozi wa juu wa serikali, wakurugenzi wakuu na wanasayansi kutoka nchi 100 wanashiriki katika mkutano wa kimataifa wa siku mbili unaoanza leo Jumatatu. Wahudhuriaji wakuu ni pamoja na Makamu Rais wa Marekani JD Vance, katika ziara yake ya kwanza nje ya nchi tangu aingie madarakani, na Makamu wa Waziri Mkuu wa China, Zhang Guoqing. Tunaishi katika mapinduzi ya teknolojia na kisayansi ambayo hatujawahi kuyaona, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron alisema Jumapili katika televisheni ya taifa ya Ufaransa. Ufaransa na Ulaya lazima zichukue fursa kwa sababu AI itatuwezesha kuishi vizuri, kujifunza vizuri, kufanya kazi vizuri, kujihudumia vizuri, na ni juu yetu kuiweka akili mnemba katika utoaji huduma ya binadamu, alisema. #akilimnemba #ai #ufaransa #mkutano #teknolojia #makamurais #marekani #jdvance #voa #voaswahili
Mkutano wa AI wa kimataifa wafanyika Ufaransa
- 11 Aug 2025 - Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
- 11 Aug 2025 - Countries remained at loggerheads Monday over how to tackle plastic pollution, with only four days left to craft a landmark global treaty on reining in the ever-growing scourge.
- 11 Aug 2025 - Public Health Principal Secretary Mary Muthoni has warned management of level 2, level 3 and sub county hospitals against charging patients when they seek outpatient medical attention in those facilities.
- 11 Aug 2025 - Youth between the ages of 25 and 34 are the most active online.
- 11 Aug 2025 - President Donald Trump pledged on Sunday to evict homeless people from the nation's capital and jail criminals, despite Washington's mayor arguing there is no current spike in crime.
- 11 Aug 2025 - Israel's military said it killed an Al Jazeera journalist it accused of being a Hamas cell leader in a Gaza airstrike on Sunday, but rights advocates said he had been targeted for his frontline reporting on the Gaza war and Israel's claim lacked…
- 11 Aug 2025 - The project aims to ease traffic flow in the city.
- 11 Aug 2025 - They say many have been sitting back and waiting for the state to provide jobs
- 11 Aug 2025 - Police said one Erick Mutembei Njagi, 53, was shot and killed by four gunmen who were riding on a motorcycle.
- 11 Aug 2025 - The video widely shared on TikTok claims that the ’23-year-old’ was attacked during a performance.