Skip to main content
Skip to main content

Samia ataka ushirikiano kudhibiti uanaharakati wa vijana

  • | Citizen TV
    400 views
    Duration: 2:48
    Haya yakijiri, Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan sasa ametaka ushirikiano kati ya Kenya na Tanzania katika kukabiliana na uanaharakati wa kidemokrasia kutoka kwa vijana. Rais Samia amesema kuwa mwelekeo mkali na wa pamoja kati ya mataifa haya mawili utasaidia kukabiliana na vijana wanaochipuka kupigania matakwa yao. Hata hivyo, matamshi haya yamekosolewa.