- 1,229 viewsKwa takriban mwezi mmoja, Majeshi ya Ulinzi ya Puntland wameripotiwa kusonga mbele kufikia maficho ya wapiganaji wa Islamic State katika ukanda huo, huku kikiwa na mapigano makali hivi karibuni huko Turmasaale, eneo la kimkakati. Licha ya vifo kwa pande zote mbili, wanajeshi wa Puntland wamepiga hatua kubwa, wakikamata maeneo muhimu kadhaa. Siku ya Jumamosi (Februari 1) Rais wa Marekani Donald Trump alisema aliamuru mashambulizi ya kijeshi kumlenga mpangaji mkuu wa mashambulizi ya Islamic State na wengine kutoka katika jumuiya hiyo nchini Somalia. Waziri wa Ulinzi Pete Hegseth alisema mashambulizi yalifanywa katika eneo la milima ya Golis na hakuna raia aliyedhurika. Reuters haikuweza kuthibitisha maelezo hayo. Afisa mmoja wa ofisi ya rais Somalia, akitaka jina lake lisitajwe, alithibitisha mashambuliz hayo na kusema serikali ya Somalia imeipokea hatua hiyo. Marekani katika vipindi tofauti imefanya mashambulizi ya anga nchini Somalia kwa miaka kadhaa, chini ya utawala wa Warepublikan na Wademokratik. (Reuters) #somalia #is #isis #voa
Somalia: Wanajeshi waimarisha doria wakati Trump aamuru IS kushambuliwa
- 1 May 2025 - Ukraine expects to sign a much-anticipated minerals deal with the United States in "the next 24 hours", Prime Minister Denys Shmygal said Wednesday, as both sides finalised details.
- 1 May 2025 - Israeli Defence Minister Israel Katz ordered troops to deploy on Wednesday to support firefighters battling rapidly spreading wildfires near Jerusalem, calling the situation a "national emergency".
- 1 May 2025 - US President Donald Trump said Wednesday he was considering legal action against the New York Times, in his latest attack on a major media outlet.
- 1 May 2025 - The government is revving up revenue collection efforts with increased pursuit of businesses and the creative economy to meet its tax targets. It has warned that a significant number of companies in the country risk losing their registration permits,…
- 1 May 2025 - Trapped abroad, silenced at home: the agony of job-seeking Kenyans
- 1 May 2025 - Why you are likely to lose your land to family, not fraudsters
- 1 May 2025 - How Barrakoi six were shot dead by police as kin cry out for justice
- 1 May 2025 - Private firms sack workers as State wage bill continues to rise
- 1 May 2025 - Nothing to celebrate: Workers decry Labour Day amid hard times
- 1 May 2025 - How workers are coping with widening wage, costs gap