- 4,836 viewsKikao kinachowakutanisha pamoja wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC na Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC kimefanyika leo Ikulu jijini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huo umejadili hali ya usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC Rais wa Rwanda, Paul Kagame, amehudhuria kikao hicho, huku Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Tshisekedi, alishiriki kwa njia ya mtandao. Kikao hicho kinaongozwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais wa Kenya, William Ruto. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan pia alikuwepo katika kikao hicho cha dharura kujadili hali ya mashariki mwa DRC. Viongozi wengine waiohudhuria mkutano huo ni Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema. Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani Picha zote na Idara ya Habari: MAELEZO #voaswahili #afrika #congo #drc #goma #m23 #sadc #eac #mawaziri #mamboyanje #marais
Viongozi wa SADC na EAC wajadili usalama katika eneo la DRC
- 16 Jun 2025 - Government Spokesperson Dr. Isaac Mwaura has come out to dispel reports that Kenya is involved as an architect in the Sudan war.
- 16 Jun 2025 - Tanzanian opposition leader Tundu Lissu told a court on Monday he had been denied his basic legal rights and that he would defend himself against a treason charge that carries the death penalty.
- 16 Jun 2025 - The Director of Public Prosecutions (DPP) has told the court that Nairobi Central Police Station OCS Samson Taalam interfered with crucial evidence related to an ongoing investigation into the death of Albert Ojwang in police custody.
- 16 Jun 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has urged the Kenyan youth to avoid taking to the streets on June 25 to commemorate the deadly aftermath of the anti-tax protests , warning that there is a plot to kill them.
- 16 Jun 2025 - Former Chief Justice David Maraga now wants president William Ruto to take action following the heinous murder of teacher Albert Ojwang', saying the buck stops with him as the head of government.
- 16 Jun 2025 - He said tampering with CCTC cameras at stations will be criminalised.
- - CS Murkomen holds press conference over police reforms
- 16 Jun 2025 - The announcement was made on Monday at the steps of Harambee House.
- 16 Jun 2025 - The revelation sparked outrage and opposition from residents, with some threatening legal action.
- 16 Jun 2025 - The government is in the process of reviewing the current labour laws to align them with the emerging issues in the world of work, with an aim of advancing social justice for all.