- 4,836 viewsKikao kinachowakutanisha pamoja wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC na Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC kimefanyika leo Ikulu jijini Dar es Salaam, Tanzania. Mkutano huo umejadili hali ya usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC Rais wa Rwanda, Paul Kagame, amehudhuria kikao hicho, huku Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Tshisekedi, alishiriki kwa njia ya mtandao. Kikao hicho kinaongozwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa, pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais wa Kenya, William Ruto. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan pia alikuwepo katika kikao hicho cha dharura kujadili hali ya mashariki mwa DRC. Viongozi wengine waiohudhuria mkutano huo ni Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema. Ripoti ya mwandishi wa VOA, Amri Ramadhani Picha zote na Idara ya Habari: MAELEZO #voaswahili #afrika #congo #drc #goma #m23 #sadc #eac #mawaziri #mamboyanje #marais
Viongozi wa SADC na EAC wajadili usalama katika eneo la DRC
- 1 May 2025 - Kasipul MP Charles Ong'ondo Were has been shot dead this evening at the City Mortuary round about in Nairobi.
- 1 May 2025 - The government now says it has not introduced any new taxes in the Finance Bill 2025, saying the move is meant to reduce the high cost of living in the country.
- 30 Apr 2025 - Controller of Budget Dr. Margaret Nyakang’o has filed an urgent application at the Nakuru High Court seeking clarity on contentious court orders that have thrown county bursary approvals and disbursements into disarray, delivering a major blow to needy…
- 30 Apr 2025 - Embattled Kenyatta University Vice Chancellor Prof. Paul Wainaina is back at the helm of the institution after the Employment and Labour Relations Court on Wednesday ordered his reinstatement as the institution’s top executive.
- 30 Apr 2025 - The Office of the Director of Public Prosecutions (ODPP) has released an update on investigations into deaths and injuries that occurred during the Gen Z protests of June 2024, many of which were highlighted in the BBC documentary dubbed ‘Blood…
- 30 Apr 2025 - KMPDU has written to the University of Nairobi (UoN), demanding urgent measures to protect the welfare of medical registrars, who it says are being overworked and unfairly treated.
- 30 Apr 2025 - Two lovers have been arraigned in court in connection with the brutal murder and lynching of a 26-year-old woman in Likoni, Mombasa County.
- 30 Apr 2025 - Prof. Makau Mutua has landed a new job in the Kenya Kwanza administration, becoming the latest beneficiary of the broad-based government agreement between President William Ruto and former Prime Minister Raila Odinga.
- 30 Apr 2025 - Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has directed that chiefs from five counties grappling with frequent livestock raids be registered and armed for self-defense.
- 30 Apr 2025 - Kasipul MP Ong’ondo Were has died. The MP is reported to have been shot dead by two assailants who had been trailing him on a motorbike. Upon reaching the junction at Nairobi Funeral Home, formerly known as City Mortuary, the pillion passenger of the…