Skip to main content
Skip to main content

Wafanyakazi wapendekeza taasisi mbadala ya kupinga uongozi wa COTU

  • | Citizen TV
    278 views
    Duration: 1:38
    Baadhi ya wafanyakazi nchini, wakiongozwa na kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua, wamependekeza kuundwa kwa shirika mbadala la wafanyakazi kupinga muungano wa wafanyakazi wa COTU unaoongozwa na Francis Atwoli.