5 May 2026 7:38 pm | Citizen TV 278 views Duration: 1:38 Baadhi ya wafanyakazi nchini, wakiongozwa na kinara wa chama cha DCP Rigathi Gachagua, wamependekeza kuundwa kwa shirika mbadala la wafanyakazi kupinga muungano wa wafanyakazi wa COTU unaoongozwa na Francis Atwoli.