- 7 views
Wakazi wa kaunti ya Samburu wametakiwa kukumbatia suala la upanzi wa miti na kutunza misitu na vyanzio vya maji kama njia ya kuhifadhi mazingira. Hayo ni kwa mujibu wa mwana-harakati wa mazingira Susan Boit ambaye alisema kuwa azma yao ni kutimiza ndoto ya rais William Ruto ya kupanda miti bilioni-15 katika kipindi cha miaka kumi ijayo. Akizungumza katika msitu wa Kirisia wakati wa hafla ya upanzi wa miti, Boit alisema kuwa kufikia sasa miche milioni-300 ya miti imepandwa kote nchini kati ya mwezi Disemba 2022 na Juni 2024. Kuhusu suala la marufuku ya kulisha mifugo kwenye misitu,Boit aliridhia kauli ya waziri wa Mazingira Soipan Tuiya kuwa wafugaji hawapaswi kupeleka mifugo misituni. Boit alisema marufuku hiyo inanuiwa kuhifadhi miti changa inayopandwa ili ipate nafasi ya kukua. Hata hivyo, kamati ya kiufundi iliyoundwa na serikali inaratibu mikakati kuhusu jinsi wafugaji wanaweza kulisha mifugo katika misitu.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wakazi wa Samburu wahimizwa kupanda miti kama njia ya kuhifadhi mazingira
- - CATCH K24TV LIVE ››
- 1 Jul 2025 - A new Bill sponsored by Nairobi Woman Representative Esther Passaris seeks to prohibit public gatherings near Parliament and all protected areas.
- 1 Jul 2025 - Speaking from Seville at a high-level forum on global cooperation, President Macron emphasized his common vision with President William Ruto: no country should be forced to choose between economic progress and environmental protection.
- 1 Jul 2025 - Former Vice President Kalonzo Musyoka’s party has officially changed its name to Wiper Patriotic Front from the founding name, Wiper Democratic Movement per a Kenya Gazette notice published by the Registrar of Political Parties.
- 1 Jul 2025 - Billionaire Elon Musk on Monday renewed his criticism of U.S. President Donald Trump's sweeping tax-cut and spending bill, vowing to unseat lawmakers who backed it after campaigning on limiting government spending.
- 1 Jul 2025 - More than 14 million of the world's most vulnerable people, a third of them small children, could die because of the Trump administration's dismantling of US foreign aid, research projected on Tuesday.
- 1 Jul 2025 - The government also outlined the stipend and eligibility criteria for applicants.
- 1 Jul 2025 - Bangladesh on July 1 marks one year since students launched protests that culminated weeks later in the overthrow of the government.
- 1 Jul 2025 - The presidents met on the sidelines of the UN General Assembly in New York.
- 1 Jul 2025 - The global agreement on efforts to make the world prosperous and save the plant from the effects of climate change is not a contest between the developed and developing nations, President William Ruto has said.
- 1 Jul 2025 - A middle-aged man shocked an Eldoret court after confessing that he deals in bhang business as his only source of income.