Waziri Mkuu wa Italia afunga mkutano wa G7
Marekani imesema Alhamisi kuwa wao na wanachama wengine wa G7 wataipatia Kyiv mkopo wa hadi dola bilioni 50 ambao zitalipwa kwa washirika wa Magharibi kwa kutumia mapato ya riba kutoka kwenye mali za Russia zilizozuiliwa katika taasisi za kifedha za Magharibi.
Tangazo hilo lilikuja wakati Rais Joe Biden akikutana na viongozi wa Kundi la nchi saba tajiri za demokrasia Alhamisi katika hoteli ya kifahari ya Borgo Egnazia huko Puglia, Italia, katika siku ya kwanza ya mkutano huo.
Biden amekuwa akiwashinikiza viongozi wa G7 kukubaliana na mpango wake kwa washirika wa Magharibi kutoa fedha mapema kwa Ukraine na kulipwa kwa kutumia mapato ya riba kutoka dola bilioni 280 za mali zisizohamishika za Russia. - VOA
#mkutano #G7 #marekani #rais #joebiden #nchitajiri #voa #voaswahili
11 Aug 2025
- Youth between the ages of 25 and 34 are the most active online.
11 Aug 2025
- The project aims to ease traffic flow in the city.
11 Aug 2025
- Trump recently spared Kenya from tariff slaps.
11 Aug 2025
- Mexico City's Benito Juarez International Airport suspended operations for several hours Sunday after heavy rains flooded the capital and caused poor visibility, authorities said.
11 Aug 2025
- Countries remained at loggerheads Monday over how to tackle plastic pollution, with only four days left to craft a landmark global treaty on reining in the ever-growing scourge.
11 Aug 2025
- Public Health Principal Secretary Mary Muthoni has warned management of level 2, level 3 and sub county hospitals against charging patients when they seek outpatient medical attention in those facilities.
11 Aug 2025
- Youth between the ages of 25 and 34 are the most active online.
11 Aug 2025
- President Donald Trump pledged on Sunday to evict homeless people from the nation's capital and jail criminals, despite Washington's mayor arguing there is no current spike in crime.
11 Aug 2025
- Israel's military said it killed an Al Jazeera journalist it accused of being a Hamas cell leader in a Gaza airstrike on Sunday, but rights advocates said he had been targeted for his frontline reporting on the Gaza war and Israel's claim lacked…
11 Aug 2025
- The project aims to ease traffic flow in the city.
11 Aug 2025
- They say many have been sitting back and waiting for the state to provide jobs
11 Aug 2025
- Police said one Erick Mutembei Njagi, 53, was shot and killed by four gunmen who were riding on a motorcycle.
11 Aug 2025
- The video widely shared on TikTok claims that the ’23-year-old’ was attacked during a performance.