Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya Elimu yataka bilioni 100 za ziada kwenye bajeti

  • | Citizen TV
    133 views
    Wizara ya Elimu sasa inasema inataka pesa zilizoagizwa kufadhili masomo zizingatiwe kwenye bajeti kikamilifu. Katibu katika wizara hiyo, Julius Bitok, amesema kuwa kwa sasa kuna upungufu wa fedha za elimu ambao huenda ukalemaza idara ya elimu. Katika bajeti hiyo, Bitok anasema kuwa kuna upungufu wa zaidi ya bilioni 100 ambao anataka Wizara ya Hazina ya Kitaifa kuuangazia kabla ya wiki ijayo ya bajeti kusomwa.