- 51 views
Rais William Ruto sasa amesisitiza kuwa hakuna yeyote atasazwa katika ulipaji wa kodi nchini. Ruto amemsuta kinara wa Azimio Raila Odinga kwa semi zake za kutaka IEBC iondolewe na badala yake uchaguzi ufanywe katika kaunti. Ruto amesema haya akihutubia wananchi katika maeneo ya Ruai baada ya kushiriki ibada ya kanisa la Deliverance eneo hilo. Aidha Ruto ameagiza mashirika yote ya serikali yenye kesi mahakamani kuhusu kodi kuondoa kesi hizo na badala yake kufanya mazungumzo na shirika la kutoza ushuru KRA, kuhusu jinsi ya kulipa kodi iliyosalia.
Rais Ruto asisitiza kuwa hakuna yeyote atasazwa katika ulipaji wa kodi nchini
- - Usalama wa Kisauni ››
- - Risasi za saba saba ››
- - Siasa kuhusu IEBC ››
- - Siasa mitandaoni ››
- - Siasa kuhusu IEBC ››
- - LAND AND PROPERTY ››
- 13 Jul 2025 - Public Service Cabinet Secretary Geoffrey Ruku has called on the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) to put in place all necessary regulations and processes in preparation for the pending by-elections across the country and the 2027…
- 13 Jul 2025 - Gaza's civil defence agency said Israeli air strikes on Sunday killed more than 40 Palestinians, including at a market and a water distribution point, as talks for a ceasefire between Israel and Hamas stalled.
- 13 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki said the focus now is completion of these projects and commencement of others, calling on residents not to fall prey to those selling cheap and retrogressive politics.
- 13 Jul 2025 - A man was left with serious injuries on Sunday after being beaten by residents who suspected him of being a livestock thief in the Drys area of Ainapkoi, Uasin Gishu County.
- 13 Jul 2025 - Thousands of people streamed to a small Italian hilltop village not far from Rome on Sunday, to hear Pope Leo deliver his first Angelus prayer from his summer residence at Castel Gandolfo.
- 13 Jul 2025 - Public Service CS Geoffrey Ruku has urged IEBC to put up all necessary measures in readiness for all the pending by-elections and the 2027 general election.
- 13 Jul 2025 - IEBC recently got a new chair & commissioners.
- 13 Jul 2025 - Kenya Simbas on Sunday bowed out of the 2027 Rugby World Cup contention after losing to Zimbabwe 29-23 in a tight Rugby Africa Cup semifinal at Mandela National Stadium in Uganda.
- 13 Jul 2025 - “When it’s time for campaigns, we will come with a scorecard of what we have achieved."
- 13 Jul 2025 - The East African Community (EAC) has renewed calls for a harmonised, Africa-led resource mobilisation framework as it assumes the leadership of the COMESA-EAC-SADC Tripartite Free Trade Area (TFTA).