- 14,737 viewsDuration: 2:47Mwili wa mwanaume aliyetoweka nyumbani kaunti ya Narok zaidi ya miaka 30 iliyopita, wapatikana katika makafani ya makadara jijini Mombasa. Marehemu Victor Kibet adaiwa kutoweka mwaka 1994 familia wasijue alikoenda kabla ya kumtambua kupitia picha mtandaoni. Familia yaasema wamekuwa wakimtafuta bila ya mafanikio.