- 191 views
Zaidi ya watu milioni 800 barani Afrika wanakumbwa na uhaba wa chakula. Hii ina maana kuwa takribani asilimia 39 ya watu katika bara hili wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa chakula cha kutosha. mabadiliko ya tabia nchi, uharibifu wa ardhi na changamoto nyingine zinakithirisha taswira hiyo. Wiki hii, Kenya iliandaa kongamano lililofanyika katika makao makuu ya shirika la umoja wa mataoifa linaloshughulikia mazingira ,UNEP, jijini Nairobi, ambapo wanasayansi, watafiti na wadau katika sekta ya chakula kutoka pembe zote za dunia walikutana kuwasilisha suluhisho linaloongozwa na utafiti wa kisayansi katika kukabiliana na changamoto hiyo.
Zaidi ya watu milioni 800 barani Afrika wakumbwa na uhaba wa chakula
- 1 May 2025 - KMPDU has called on the government to prioritise the welfare of healthcare workers, warning that continued neglect of doctors’ rights and hospital working conditions threatens the country’s health system.
- 1 May 2025 - President William Ruto has announced that pensions and gratuity payments for workers both in the private and public sectors will be tax-free beginning the next financial year.
- 1 May 2025 - Former Interior Cabinet Secretary Fred Matiang'i is set to make his first public appearance this year in the Gusii region on Friday, May 2, 2025.
- 1 May 2025 - A Grade 2 pupil was on Wednesday evening swept away by floods in Milimani area, Nakuru County, after a heavy downpour led to severe flooding in several parts of the town.
- 1 May 2025 - Israel declared a national emergency as the largest wildfires in the country’s history continued to rage out of control. The Fire and Rescue Service’s Jerusalem District commander said firefighters had a long way to go before they could contain the…
- 1 May 2025 - Salasya said he will launch his presidential bid under a new political movement.
- 1 May 2025 - The three officers, all constables, were travelling in a white VW Polo when they went missing.
- 1 May 2025 - The family of slain Kasipul Member of Parliament Charles On'gondo Were has shifted blame to the government following his assassination on Wednesday night in Nairobi.
- 1 May 2025 - Most counties did organise for public functions, and those who did had low-key attendance.
- 1 May 2025 - Family sources confirmed that Otula succumbed to a cardiac arrest at his Nairobi home.